MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Thursday 13 June 2013

MTOTO MCHANGA ATUPWA ENEO LA MAGOMENI JIJINI DAR ES SALAAM

wakazi wa magomeni wakiushuhudia mwili wa mtoto mchanga anayezaniwa kuwa na umri wa siku moja akiwa kwenye mfuko katupwa na mtu asiyejulikana
 
 
 
wakazi wa eneo jilani na wapita njia wakiwa eneo la tukio kuutaza mwili wa mtoto huyo
 
mwili wa mtoto huto ukiwa ndani ya gali la polisi
 
askali wa kituo cha magomeni wakiwa eneo la tukio 

No comments:

Post a Comment