MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Thursday, 23 May 2013

HUU NI UJIO MPYA WA MSANII DULAYO

   
      Ni baada ya kimya kilefu hatimaye star wa music wa bongo DULAYO kuachia nyimbo yake mpya ambayo ameifanya chini ya producer zest mkali na kuanza kufanya vizuri katika media mbalimbali za Tanzania na kungineko. akizungumza na mtandao wetu msanii DULAYO amesema amejipanga vizuri kuakikisha anawapa radha tofauti mashabiki wake hasa akimzungumzia sana producer wake zest mkali kwa kufanya kazi nzuri sana na ikiwa na muda mfupi tu watu wameipokea vizuri
Pia msanii huyo ahaidi kufanya vizuri zaidi hasa akidai kuwa nyimbo nyingine nzuri soon zitaachiwa katika media tofautitofauti ili kuakikisha yupo safi kabisa katika swala la music
  Ukitaka kuipata nyimbo hii bonyeza linki ifuatayo ili uweze kuipata nyimbo hii
Hulk Share - Music Distribution Platform
www.hulkshare.com
Huyu ndiye producer ZEST MKALI ambaye amesababisha ngoma mpya ya dulayo. na akizungumza nasi haya ndiyo aliyoyasema, ni kweli nimefanya nyimbo na dulayo na kiukweli ni nyimbo nzuri sana na naamini watu wataipokea vizuri na kusaport mziki wetu na kingine ni kwamba nimejipanga vizuri na nawaomba watu wote wanaomfahamu zest mkali ni nani kwenye mziki huu wajiandaee kupata mikono iliyokamilika na maradha ya kutosha kutoka kwangu. hayo ni maneno ya Producer zest mkali

No comments:

Post a Comment