MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Thursday 20 July 2017

LULU DIVA ALA MKATABA MNONO NA MSANII WA KENYA JAGUAR

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiErujtVjEhQaZW7-55WSHFYmFB9VxYFQS6ZCx8tNOsp89a-KfDRKZM2WAYfErOLRcgG7xICS2AwJ75lh7QERsgR4Yw1a5UQdE8V7Lc2CXogOaRg5svLKwd_D2I_Tapo7qTht6UuAwzHaU/s640/Screenshot_2017-02-26-00-34-24-1.png 
Msanii wa Bongo Fleva, Lulu Abbas `Lulu Diva’.
MSANII wa Bongo Fleva, Lulu Abbas `Lulu Diva’ amejikuta kwenye furaha ya aina yake baada ya kuingia mkataba na msanii kutoka nchini Kenya,Jaguar atakayekuwa anasimamia kazi zake.
Akipiga stori na Showbiz Xtra,Lulu alisema ni jambo la kujivunia kupata shavu kama hilo kwani hakutegemea kama angeweza kupiga hatua kimuziki na kazi zake kusimamiwa na mtu kama huyo mwenye heshima kubwa kwenye gemu ya muziki.

http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2017/02/16110957_233502857098392_7675397563461140480_n.jpg
“Namshukuru Mungu kwa hili, nimepata mkataba mnono kwa Jaguar, makazi yangu yataendelea kuwa Bongo, lakini inapotokea nikahitajika Kenya nitakuwa nafika kwa wakati, niwaombe mashabiki wangu waendelee kunisapoti, naamini nitafika mbali zaidi na kuiwakilisha vyema nchi yangu,” alisema huku akigoma kufafanua ni mkataba wa muda gani

Source global pubrishers

No comments:

Post a Comment