MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Monday, 8 September 2014

AJALI ZAIANDAMA TANZANIA BASI LA SIMBA MTOTO NA DAR EXPRESS YAGONGANA USO KWA USO HUKO MUHEZA

 
Pichani ni mabasi mawili ya Simba Mtoto na Dar Express yakiwa yamegongana uso kwa uso maeneo ya Muheza Mkoani Tanga mchana huu. Haijafahamika ni abiria wangapi wamedhurika katika ajali hiyo. 

endelea kuwa pamoja nasi kukujuza habari kamili

No comments:

Post a Comment