MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Monday 30 September 2013

NI HATARI KUREJESHA BIKIRA KWA WANAWAKE KWA TIBA ASILIA.....SOMA HAPA..


Watu wengi hujiulizia  kama  kuna dawa  ya  asili  ya  kurejesha  bikira  kwa  wanawake.
 Ni kwamba,  haipo  dawa  ya  asili  inayo  weza  kurejesha  bikira  kwa  mwanamke. 
Dawa  zilizopo ni dawa  za  kichina, na  side  effects  zake  ni  kubwa  sana. 
Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mwanamke  anaye  tumia  dawa  za  kichina  kwa  ajili  ya  kurejesha  bikira  yake  anajiweka  katika   hatari  kubwa  sana  ya  kupatwa  na  ugonjwa  wa  kansa kutokana  na  kemikali  mbalimbali  zinazo  patikana  katika  dawa  hizo.
USHAURI  WETU
Tunashauri  usitumie  dawa  za kichina  kwa  ajili  ya  kurejesha  bikira  kwa  sababu  madhara  yake  ni makubwa sana.
UTUMIE  DAWA  GANI?:

No comments:

Post a Comment