MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Wednesday 19 June 2013

MUANDISHI WA HABARI MAARUFU WA CHANNELTEN CHARLES HILILA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mwandishi wa habari wa Kituo cha Channelten Bw.Charles Hilila amefariki dunia  saa saba usiku katika Hospitali ya mkoa wa Shinyanga ambako alikuwa amelazwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu ya homa ya Malaria iliyokuwa ikimsumbua kwa muda wa siku chache zilizopita...MUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU CHARLES HILILA ,AMENI    chanzo blog ya wanainchi

No comments:

Post a Comment