MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Wednesday, 5 June 2013

INASEMEKANA KHADIJA KOPA AFIWA NA MUMEWE

Khadija Kopa (kulia) mume wake na watoto wao mwaka jana kwenye tuzo.
 
 Nitabandika updates nikipata. Pole sana Dada Khadija Kopa.   Mungu akutie nguvu katika kipind hiki kigumu.  Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. Amin.

Naona salamu za pole zinamiminika kwenye Facebook page yake: https://www.facebook.com/MalkiaKhadijaKopa?fref=ts

Khadija Kopa akiwa na mumewe kabla ya kupanda jukwaani kutoa burudani  (picha ilipigwa 2012)
MUME WA KHADIJA OMARY KOPA"MALKIA WA MIPASHO TANZANIA"AMEFARIKI USIKU HUU MIDA YA SAA TISA USIKU POLEE SANA KHADIJA KOPA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI

BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE!
"AMEN"

No comments:

Post a Comment