MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Monday, 3 June 2013

AJALI YATOKEA DAR DALADALA YATUMBUKIA MTONI

Daladala moja inayofanya safari zake za Gongo la Mboto na Masaki jijini Dar es Salaam, imetumbukia mtaroni asubuhi ya leo maeneo ya Magomeni Mikumi baada ya kutaka kulipita gari ndogo aina ya Noah na kusababisha kupoteza muelekeo na kuingia mtaroni lakini kwa bahati nzuri hakuna aliyepoteza maisha wote wamejeruhiwa hapo chini ni daladala hiyo pia askari akichukua maelezo kwa majeruhi:Picha kwa Hisani ya Mwanaharakati Blog

 wakazi wakiangalia ajali hiyo.
 
 Askari wakilinda usalama
Kunguru wakibeba gari hilo.

No comments:

Post a Comment