MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Thursday, 23 May 2013

TASWIRA NZIMA YA UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA YA IRINGA KWENDA DODOMA KUPITIA MTERA JANA


 

Viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa wakijipanga kumsubiria Mgeni rasmi Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Kikwete akiwasili kwenye uzinduzi wa Ujenzi wa barabara ya Dodoma Iringa  kiwango cha lami kupitia mtera  katika kijiji cha migoli jana. 

   

Waziri wa Ujenzi Mh John Magufuli akiteta jambo na mgeni rasmi Mh Jakaya Kikwete


Mgeni rasmi Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Kikwete akijianda kukata utepe katika ufunguzi wa  Ujenzi wa barabara ya Dodoma Iringa kiwango cha rami katika kijiji cha migoli

 Mgeni rasmi Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Kikwete akikata utepe katika ufunguzi wa  Ujenzi wa barabara ya Dodoma Iringa kiwango cha rami katika kijiji cha migoli pembeni ni mbunge wa jimbo la Isimani Mh.William Lukuvi

 

Mkuu wa mkoa wa Iringa akihutubia wananchi jana kwenye Uzinduzi wa Ujenzi wa barabara ya Iringa kwenda Dodoma.



  

Mgeni rasmi Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Kikwete akiwa anaondoka baada ya kuzindua  Ujenzi wa barabara ya Iringa Dodoma kiwango cha lami katika kijiji cha migoli jana

  

Gari ya Polisi ikiwa kwenye escort ya msafara wa Raisi


Picha na:Thobias Myovela

No comments:

Post a Comment