MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Saturday, 25 May 2013

DJ NAG AMBAYE ANAFANYA VIZURI SANA SWEET FM

                
Huyu ndiye dj nag ambaye anafanya vizuri sana katika moja ya media za mbeya hapa tukiizungumzia SWEET FM hasa katika kipindi cha THE BESE NA HOT BENGAS kwa kupiga mangoma tofautitofauti kuanzia saa saba hadi saa kumi jioni kadika moja na mbili akiwakilisha na vile vile kuanzia saa 2 usiku adi saa 4 usiku jiunge nae upate burudani bomba sana

                      
      DJ NAG akiwa katika moja ya vipindi vyake akiendesha kipindi kutoka sweet fm pande za jiji la mbeya


                                            
DJ NAG akiwa na moja ya watangazaji wa sweet fm wakiwa katika kipindi

                                      Kwenye moja na mbili akiwa DJ NAG mwenyew

No comments:

Post a Comment