MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Friday, 24 May 2013

BABY J ATILILIKA KUWA WASANII APENDAO KUSHILIKIANA NAO NI RECHO NA VANESSA MDEE


Ni baada tu ya Kushiriki kwenye Wimbo ulioshirikisha wasanii wengi wa Kike kuhusu Ugonjwa wa FISTULA, Baby J amezungunza experience aliyoipata kwa Kufanya Wimbo pamoja na Wasanii wengine Wa Kike na Kuperform. Pia amewataja wasanii Recho na Vanessa Mdee ndio wasanii atakaofanya nao Colabo kwenye Project zake zijazo ili kutupa vitu vizuri na vya kitofauti zaidi


Baby J katika pozi
katika kuakikisha anawapa radha mashabiki wake wanaopenda mziki wake na kuahidi kushirikiana na wasanii wengine zaidi ya hao aliowataja

No comments:

Post a Comment