MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Sunday, 7 April 2013

UWOYA ASAKA VIPAJI KUIGIZA KOTE TANZANIA

Kwa ufupi
Uwoya: Nashiriki muvi yoyote ilimradi inilipe mimi na iwe na ujumbe mzuri ambao utatoa funzo kwa jamii inayotuzunguka,hasa ukizingatia sisi ni kioo cha jamii.
Starehe: Mbona siku za hivi karibuni mmekuwa si kioo cha jamii tena badala yake mmekuwa miale mibaya kwa wanaowatazama?

No comments:

Post a Comment