Uwoya: Nashiriki muvi yoyote ilimradi inilipe mimi
na iwe na ujumbe mzuri ambao utatoa funzo kwa jamii inayotuzunguka,hasa
ukizingatia sisi ni kioo cha jamii.
Starehe: Mbona siku za hivi karibuni mmekuwa si kioo cha jamii tena badala yake mmekuwa miale mibaya kwa wanaowatazama?
Starehe: Mbona siku za hivi karibuni mmekuwa si kioo cha jamii tena badala yake mmekuwa miale mibaya kwa wanaowatazama?
Kwa ufupi
No comments:
Post a Comment