MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Saturday, 27 April 2013

ISHA MASHAUZI AKIZUNGUMZIA SAKATA LAKUA AMEIBA POCHI KATIKA DUKA LA NYWELE KARIAKOO,KIWANGO AMBACHO ISHA MASHAUZI KAAMBIWA KAIBA NI SH 750,000 BALAA TUPU MJINI ISHA AKIKANUSHA HABARI IYO JANA NDANI YA REDIO TIMES FM 100.5MITIKISIKO YA PWANI .

 Isha mashauzi akiongea kwa machungu na kusema hajawahi kuingia polisi ndio mara ya kwanza kupelekwa msimbazi polisi na kukaa kwa saa kadhaa mpk kutoka kwa dhamana,alimalizxa kuimba  SI WOTE WANAOKWENDA JELA WANA HATIA NA WENGINE WANAKWENDA KWA KESI ZA KUSINGIZIWA alimaliza isha.
Dida na Isha ndani ya mahojianooo mazito pole kwa yote ndio mitihani iyo na ni changamoto,ukweli anao mwenyewe isha mwisho wa siku.

1 comment: