MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Thursday, 11 April 2013

GOLI LA UGENINI LAIPELEKA BARCELONA NUSU FAINAL CLUB BINGWA ULAYA, MATUKIO KATIKA PICHA

Kwa mara nyingine club ya fc barcelona imefanikiwa kuingioa nusu fainal ya michuano ya club bingwa barani ulaya kwa faida ya goli la ugenini baada ya kulazimishwa sare ya goli moja kwa moja na psg ya nchini ufaransa.


katika uchezo wa jana uliopigwa kwenye dimba la nou camp ncchi uhispania psg ndio walikua wa kwanza kujipatia bao kupitia kwa winga wake wa kushoto javier pastore dakika ya 49 kabla ya pedro kuzima ndoto ya wafaransa hao katika dakika ya 71 baada ya kuisawazishia timu yake goli.

kwa matokeo hayo barcelona imefanikiwa kusonga mbele kwa faida ya goli la ugenini kutokana na matokeo ya mchezo wa awali ambapo timu hizo zilifungana kwa mabao 2 kwa 2.

MATUKIO KATIKA PICHA
Job done: Barcelona win on away goals after Pedro's second-half strike pulled Barcelona level in the tie
Barcelona wakishangilia kuingia nusu fainali
Game changer: Pedro draw the hosts level after waiting patiently on the edge of the area before firing home
pedro akifunga bao la kusawazisha dk ya 71 lililoiwezesha barca kusonga mbele

Game changer: Pedro draw the hosts level after waiting patiently on the edge of the area before firing home
Stalemate: Gerard Pique joins in on the celebrations after Barcelona's eqauliser against Paris St Germain
gerald pique akishangilia na wachezaji wenzake

Down and out: Zlatan Ibrahimovic and Co were sent crashing out of Europe by Barcelona's equaliser

Down and out: Zlatan Ibrahimovic and Co were sent crashing out of Europe by Barcelona's equaliser
ibrahimovic akiwa na wenzake wakitafakari namna walivyotolewa

TIMU ZILIZOFANIKIWA KUINGIA NUSU FAINALI

Barcelona, Real Madrid, Bayern Munich, Borussia Dortmund 

ni timu zinazowakilisha nchi mbili za ujerumani na spain, ambapo zinasubiri droo itakayochezeshwa siku ya kesho ijumaa kufahamu nani atapambana na nani.



Super sub: Lionel Messi started the second leg on the bench but came on for Cesc Fabregas after 62 minutes
Super sub: lionel messi akiingia kuchukua nafasi ya ces fabrigas dk ya 62 na kwenda kubadili matokeo ya mchezo

Super sub: Lionel Messi started the second leg on the bench but came on for Cesc Fabregas after 62 minutes

On target: Dani Alves is unable to stop Javier Pastore as the Argentinian opens the scoring for Paris St Germain
javier pastore akiifungia psg goli mbele ya dan alves

Game on: Barcelona goalkeeper Victor Valdes is unable to stop Pastore's shot as the away side take a surprise lead

Knee-sy does it: Pastore (left) is mobbed by his PSG team-mates after stunning the Nou Camp

No comments:

Post a Comment