MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Monday, 9 December 2013

WANADA WAZIDI KUTENDA DHAMBI ONA KICHANGA CHAKUTWA KIMEKUFA IRINGA BAADA YA KUTUPWA NA MTU ASIYEJULIKANA



Tukio hili limetokea hapa mkoani Iringa asubuhi ya leo katika eneo la samora karibu na mashine ya kukamua mafuta ya alizeti kichanga kimekutwa kimekufa baada ya kutupwa.Shuhuda wa tukio hilo ni mwenye nyumba ambaye alikua anafanya usafi wa mazingira na kukuta kanga ikiwa imevilingisha huyo mtoto anae kadiliwa kua na miezi 8.Maiti hiyo ya kichanga ikaondoka na polisi.mpaka sasa muhusika hajapatikana.

No comments:

Post a Comment