MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Saturday 7 September 2013

BABA MZAZI WA MAREHEMU KANUMBA ASEMA "NILETEENI MAMA ZENU NILALE NAO ILI NITHIBITISHE KAMA NINYI NI WANANGU"

BABA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Charles Kanumba ametoa ofa kwa wanawake wanaohitaji kuzaa watoto kama marehemu mwanaye wamuone ili awape uzao wake.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEha4cIIFFEaDGFfz3UFJdoUDVtQcBUfJNUo4daBHEHBis50seBohHEw0fhcTTkEAw9zmxbdzOIfpaTvYLTtrDxR5uSDBFINqUTi4ZW_2ozSSw3SxNTJAqKSgRDOO4BjzS_EwUsJ6H_aMBXA/s640/Baba+wa+Kanumba.JPG?width=550 Akipiga stori na mwandishi wetu, baba Kanumba alisema amefikia hatua hiyo kutokana na usumbufu anaoupata kwani tangu Kanumba alipofariki dunia wamejitokeza mabinti watano wakidai kuwa ni watoto wake wakati si kweli bali wanahitaji uzao wake.

“Nimechoka kila kona wanatoka vijana na kusema mimi ni baba yao tangu Kanumba alivyofariki dunia.Waleteni mama zenu nilale  nao  kwanza  na  kama kuna mwanamke anayehitaji uzao wangu, namkaribisha aje nimpe na watoto atakaowazaa watakuwa maarufu sana,” alijigamba baba Kanumba

1 comment: