MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Wednesday, 5 June 2013

WATU WAJITOKEZA LEADERS KUUAGA MWILI WA MAREHEMU NGWEA

 Huku watu wakiendelea kujitokeza katika viwanja Leaders Club katika harakati nzima ya kutoa heshima ya mwisho ya ndugu yetu msanii wetu na kipenzi cha watu wengi muda huu mwili wa Marehemu Albert Mangwear ndio umeingia katika viwanja vya leaders Club

Dah this is it ndugu yetu mpendendwa ndo ametangulia mbele za haki na sasa ule muda wa kutoa heshima za mwisho ndo umewadia. Mungu awape nguvu wale wote waliofikwa na msiba huu. Image credit DJ Choka


Mwili wa marhemu Albert Mangwea ukiwa kwenye jeneza tayari kwa watu kutoa heshima za mwisho


Umati wa watu wakiwa wamepanga mstari tayari kwa kwenda kuaga huku kikosi cha msalaba mwekundu na polisi kikiwa stand by just incase anything happens. Sasa naskia watu badala ya kwenda na kuaga wao wako busy wanapiga picha kha hizi teknolojia aiseee tutajutaaaa 

Baadhi ya ma super star wa bongo wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuaga.

No comments:

Post a Comment