One of the Neymar Investor amewelalamikia Fifa na kuwataka wachunguze
kiasi cha €57 million zilizolipwa na Fc Barcelona ili kumsajili Neymar
kutoka kwenye club yake Santos.
Barcelona walilipa deposit ya €10 million kipindi ambacho mkataba wa
Neymar na Santos ulikuwa bado haujaisha. Kutokana na kitendo hicho Fc
Barcelona wamejikuta wakivunja sheria za Fifa.
Vice President wa Barcelona Jose Maria Bartomeu alisema Neymar
amesajiliwa kwa kiasi cha €57 million huku Santos wakisema kwamba Neymar
ameuzwa kwa kiasi cha €17 million.
Inasemekana kwamba “Santos is leaving out the truth so that the investors receive less.”
No comments:
Post a Comment