MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Saturday 8 June 2013

HII NI LAANA FATMA WA MALAWI NA NJEMBA IITWAYO ONEAL WAKIOGA PAMOJA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

Jumba  la Big Brother  limeendela  kutowatendea  haki  akina  dada  wa  kiafrika  ambao  wako  ndani  ya  jumba  hilo  lililojaa  kamera  mpaka  chooni.....

Chochote  kinachofanyika  hurekodiwa  na  kuachiwa  live  hadharani......

Video  nyingi  za  washiriki  wakiwa  bafuni   zimekuwa  zikisambazwa  na  jumba  hilo .....
Sasa  ni  zamu  ya    Fatma  na  Onel  wakioga  pamoja  ndani ya  jumba  hilo.

Kuitazama  video  hiyo  ni  sharti  uwe  mtu  mzima

No comments:

Post a Comment