MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Wednesday, 8 May 2013

Sir Alex Ferguson astaafu ukocha wa Man UTD!

Sir-Alex-FergusonKocha mashughuli wa timu ya ligi kuu ya Uingereza, Manchester United, Sir Alex Ferguson ametangaza kustaafu baada ya kufanya kazi na timu hiyo kwa zaidi ya miaka 30, club hiyo imetangaza leo. Sir Ferguson atastaafu rasmi mwisho wa msimu huu, ambao utakuwa wa 27 kama kocha wa timu hiyo. Atamaliza kama kocha mwenye mafanikio kuliko wote katika historia ya soka ya Uingereza.
 http://www.soccerbyives.net/images/2013/01/SirAlexFerguson-ISIPhotos.com_.jpg
 Ferguson mwenye miaka 71 hivi sasa amefanikiwa kusimamia timu hiyo yenye mamilioni ya mashabiki tangu mwaka 1986
katika miaka 27 aliyokua kama manager wa timu hiyo, Sir Ferguson ameshinda vikombe 30, ikiwamo vikombe vikubwa 13
Ferguson ataachia nafasi hiyo baada ya mechi ya mwisho ya club hiyo kwa msimu huu ambayo itakuwa ni mechi kati yao na Manchester City.
Haijajulikana bado nani atakae mrithi kiti hicho

Source: DJ Fetty

No comments:

Post a Comment