MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Wednesday, 8 May 2013

Hizi ni sababu album mpya ya Jaydee inaweza kuuza kuliko zote alizowahi kutoa!!


lady-jaydee2013 ni mwaka ambao mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jayee amedhihirisha kwanini alijipa jina Binti Komando. Infact mwaka huu ameongeza jina jipya, Anaconda ambalo limeshika kasi kutokana na vuguvugu la Joto Hasira alilolianzisha dhidi ya Clouds FM na Ruge Mutahaba.
Vugu vugu hilo jana liliingia ukurasa mwingine baada ya Ruge kutumia zaidi ya saa 1 kujibu tuhuma nzito zinazoelekezwa kwake na mwanamuziki huyo mkongwe. Ruge aliweka bayana kuwa yupo tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo kuziongea hitilafu zao, kuzimaliza tofauti zao na kuanza kutengeneza mustakabali mpya kwakuwa vuguvugu hilo halina faida kwenye maendeleo ya muziki nchini.
Pamoja na kauli hiyo,
Source: Bongo5

No comments:

Post a Comment