MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Monday, 6 May 2013

HAWA NDIO WAREMBO MISS REDDS ARUSHA CITY

 
Redd’S Miss Arusha City Centre 2013, Nancy Moshi akipunga mkono mara baada ya kutawazwa mshindi wa Taji hilo katika shindano lililofanyika Usiku wa kuamkia jana jijini Arusha. Nancy aliwashinda warembo wenzake 10 waliokuwa wakiwania nae taji hilo. 
 
Redd’S Miss Arusha City Centre 2013, Nancy Moshi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Glory Steven (kushoto) na mshindi wa tatu Neema Kessy mara baada ya warembo hao kutangazwa kuwa ndio washindi wa shindano hilo lililofanyika usiku wa kuamkia jana jijini Arusha.

Warembo wa tano kati ya 11 waliokuwa wanawania taji la Redd’s Miss Arusha City Centre 2013 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutangwaza kufuzu hatua hiyo. Kutoka kushoto ni Minael Anderson, Neema Joel, Nancy Moshi, Neema Kessy na Glory Steven.
Warembo wanaliokuwa wakiwania taji la Redd’s Miss Arusha City Centre 2013 wakicheza show ya ufunguzi wa shindano hilo jijini Arusha usiku wa Kuamkia jana.


Warembo wanaliokuwa wakiwania taji la Redd’s Miss Arusha City Centre 2013 wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment