15[1]Jacqueline “Jackie” Wolper akizungumza machache kuhusiana na filamu yake alioitengeneza kwa ajili ya kumuenzi Marehemu Steven Kanumba, iitwayo After Death iliyojumuisha wasanii mbalimbali wakiwemo chipukizi wa tasnia hiyo. kulia kwake ni mtangazaji wa Clouds TV kupitia kipindi cha Mama Land, Ben Kinyaiya aliyekuwa akiongoza ratiba nzima ya shughuli ya Kumbu kumbu ya Marehemu Kanumba iliyofanyika kwenye viwanja vya Lidaz Club,Jijini Dar.
Advertisement
Baadhi wakati wa jiji la Dar na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye Kumbu kumbu ya Marehemu Steven Kanumba,ambaye alikuwa akitimiza mwaka tangu kufariki kwake
Baadhi wakati wa jiji la Dar na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye Kumbu kumbu ya Marehemu Steven Kanumba,ambaye alikuwa akitimiza mwaka tangu kufariki kwake
12[1]Mwakilishi kutoka Kampuni ya Clouds Media Group,Zamaradi Mketema akipokea tuzo ya heshima kwa niaba ya kampuni hiyo iliyotoa mchango mkubwa katika tasnia ya Filamu hapa nchini,kutoka kwa Mama yake,Marehemu Steven Kanumba,kwenye maadhimisho ya kumbu kumbu ya kutimiza mwaka mmoja tangu afarikii nyota huyo wa Filamu hapa nchini na kwingineko,Steven Kanumba