Kajala
ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mtayarishaji wa muziki maarufu hapa Bongo
“P-Funk” na kufanikiwa kupata naye mtoto mmoja, hivi sasa inasemekana
ana-roll na mchizi mmoja ambaye ni member wa kampuni ya Endless Fame ya
Wema Sepetu. Solid snitch wa bongomovietz.com ambaye amezipata za
chinichini na ku-notice nyendo mbili tatu
za bootylicous actress Kajala Masanja kupitia BBM na mshkaji huyu.
Directly unaweza kukubali kwamba yes, Jamaa na Kajala ni mtu na mpenzi
wake kwa sasa. All is well, its a new life for Kajala and she deserve to
love and to be loved. Best wishes kwenye kila anachokifanya hasaa kazi
ya yake ya move
Mapenzi kati ya hawa wawili sasa yanaonekana live live kupitia BBM na hata kwa washikaji wa Karibu japo mapenzi yalianza hata kabla ya Kajala kwenda jela....Kijana Huyo anajulikana kwa jina la Petit Man ....na ni mmoja wa Wafanyakazi wa Endless Fame Kampuni ya Wema ...Hongera kwao Jamani
Picha hii Akiwa na Boss wake Wema Sepetu .....Nice One
Mapenzi kati ya hawa wawili sasa yanaonekana live live kupitia BBM na hata kwa washikaji wa Karibu japo mapenzi yalianza hata kabla ya Kajala kwenda jela....Kijana Huyo anajulikana kwa jina la Petit Man ....na ni mmoja wa Wafanyakazi wa Endless Fame Kampuni ya Wema ...Hongera kwao Jamani


No comments:
Post a Comment