MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Monday, 15 April 2013

HUENDA FALCAO AKAHAMIA MAN U

Radamel Falcao alikuwa akiangaliwa na maskauti wa Manchester United, wakati timu yake ya Atletico Madrid iliposhinda bao 2 siku ya jumapili.
Inasemekana kwa mujibu wa dailymail, Man United itakuwa tayari kutoa pauni milioni 47 kwaajili yake pamoja na Chicharito.
Wakati United ikishinda bao 2-0, Jim Lawlor  alikuwa huko Uhispania kuiangalia timu

No comments:

Post a Comment