MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Friday, 7 February 2014

YADAIWA MTOTO WA DK. WILLIAM MGIMWA AIBUKA KUCHUKUA FORM YA KUMBEA, ILI KUMRITHI BABA YAKE UBUNGE JIMBO LA KALENGA

Mtoto waDk Willium Mgimwa aibuka kuchukua fomu, ili amrithi baba yake ubunge wa jimbo la Kalenga

Rais Jakaya Kikwete akimkumbatia, Godfrey Mgimwa baada ya kumaliza kutoa shukrani kwa niaba ya familia yao katika msiba wa baba yake. Naye mmoja ya watu wanaoomba kuteuliwa na CCM kugombea ubunge, jimbo la Kalenga.

Wengine ni Jackson Kiswaga, Bryson Kibasa, Hafsa Mtasiwa, Injinia Gabriel Kalinga, Msafiri Pangamila, Peter Mtisi, Thomas Mwikuka na Edward Mkiwa.

No comments:

Post a Comment