MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Saturday 5 October 2013

BOND AFUNGUKA NA KUSHANGAZWA NA WANAODAI KAAMBUKIZWA UKIMWI NA AUNT LULU


 

IMEVUJA! Msanii wa filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ alimlazimisha mtangazaji wa Channel Ten, Bond Bin Suleiman apime virusi vya Ukimwi kipindi walipokuwa wapenzi.

Akichonga na paparazi wetu, Bond alisema baada ya kulazishwa kwa muda mrefu na Aunty Lulu, kwa mara ya kwanza alijikuta amepima Ukimwi na bahati nzuri walikutwa wako salama.

“Kipindi nikiwa na uhusiano wa kimapenzi na Aunty, alinilazimisha mpaka tukaenda kupima Ukimwi tukajikuta tupo salama ndiyo tukaendelea na mapenzi yetu na tulikuwa na tabia ya kupima mara kwa mara lakini nawashangaa wanaosema nimeambukizwa ngoma,” alisema Bond

No comments:

Post a Comment