Matukio
ya ajali za barabarani bado yanazidi kuripotiwa na hii imetokea asubuhi
ya leo ikihusisha basi la Hood lililokuwa likitokea Arusha kwenda Mbeya
kupata ajali na kupinduka eneo la Same,mpaka sasa taarifa rasmi
haijatoka ya jumla ya majeruhi na watu waliopoteza maisha.
Taarifa zaidi itafuata kupitia hapa hapa millardayo.com endelea kunifatilia.
Miongoni mwa abiria wanaosadikika kupoteza maisha
No comments:
Post a Comment