MATANGAZO

/zest+mkali+3.jpg /TULAMCHA+2+copy.jpg

Friday, 21 February 2014

INASIKITISHA MWANAFUNZI AJICHOMA KISU NI BAADA YA KUFELI MTIHANI KIDATO CHA NNE 2013

 
Kijana ambae jina lake halijafamika mpaka sasa,aneishi mwnanyamala dar es salaam anae semekana kuwa ni mwanafunzi ambae limaliza kidato cha nne mwaka jana yan elfu 2013 alikutwa amejichoma kisu shingoni na kuwahishwa hospital ,huku chanzo kikisemekana kuwa ni matokeo yako ya kidato cha nne,matokeo yake hayakuwa mazuri maana amefeli kwa kupta ziro..

No comments:

Post a Comment